Recent Comments

NEWS:LISTENING PARTY YA KARUN YAUZULIWA NA RAIS UHURU KENYATTA

Huyu ni member wa zamani wa kundi linalofanya vizuri
kwa muziki wa pop east africa namaanisha nazungumzia
Camp mulla,lakini hapa namzungumzia Karun member
aliyejitoa kwenye kundi ilo yapata miezi miwili
sasa kwa sababu ambazo awakuziweka wazi lakini
mpekuzi wa Thisisdiamond.com inasemekana
ni kutokana na kashfa ya picha zake za utupu kuzaga mitandaoni....
Lakini hapa namwangazia kwenye masuala yake
 binafsi,siku ya jana akiwa amejizatiti kuja kama solo
artist ilikuwas party yake ya kusikiliza ngoma yake
 mpya ambayo hivi karibuni tutaanza kuiskiliza
kwenye mitandao na hata redioni,lakini kwa jambo la
 kheri kabisa sherehe hii ilipambwa zaidi pale Rais
wa kenya Uhuru Kenyatta alipoudhuria kusikilizwa
 kwa nyimbo ya msanii huyu ambae kiasi chake alikuwa
nguzo kwenye kundi la Camp Mula.....

Party hii iliuzuliwa na viongozi wengine wa serikalini
 pamoja na watu wa karibu wa Rais
Uhuru Kenyatta jijini Nairobi.....

Baada ya Party Hiyo Miss Karun alitweet kwenye mtandao
 wake wa Twitter na kuonesha juu ya furaha
yake baada ya kuimba na kusikilizwa kwa kibao
 chake mbele ya Rais wa Nchi yake.....


Share on Google Plus

About Wasafi

    Blogger Comment
    Facebook Comment

2 comments:

  1. yuko juuuuuuu pongezi nyingi kwake

    ReplyDelete
  2. Vema sana...
    Blogger ungejarbu kuangalia matumizi sahihi ya "L" na "R" kwa mfano kwenye tittle ya hii hapari.."Yauzuliwa" badala ya yahudhuriwa..otherwise u gud...#teamdiamond

    ReplyDelete