Recent Comments

NEWS:MILEY CYRUS AZIDI KUONGEZA MASTAA KWENYE UJIO WA ALBUM YAKE MPYA

Katika kuweka ujio wa Album yake moto moto mcheza filamu na mwanamuziki
Miley Cyrus amemuongeza Msanii Nguli wa miondoko ya Pop nchini Marekani


Ludacris na Mwanamuziki anaefanya vizuri kwenye
game muda huu,Big sean kwenye
album yake mpya.
Siku kadhaa nyuma Miley Cyrus aliweka bayana
kwenye ujio wake na kumjumuisha mwanadada
Ciara na Mwanadada Ciara na mwanamuziki Lil wayne baada ya watu hao
leo hii amewaongeza wasanii hawa wengine....

Kikubwa cha Album hii bado mashabiki wa milionea
huyu mdogo kuwa ''JE anataka Album yake
kuwa na ujumbe gani au Ladha gani....? bado
maswali haya yametawala kwenye
vichwa vya watu wengi nchi marekani na dunia
kote wanaomfatilia mwanamuziki huyu
ambae anafanya vizuri zaidi kwa sasa baada ya
kuweka shuguli za filamu pembeni
na kukazaa kwenye muziki....

Haya sasa mimi na wewe tukae tusubiri tuone
kitakchojiri baada ya Album hii kukamilika
mwishoni mwa mwezi wa tisa chini ya Universal Production...

Kwa habari moto moto za michezo,burudani,kitaifa
na makala za ndani na nje ya nchi
usikosee kupitia kwenye Blogsite hii kupata vitu moto moto...

Share on Google Plus

About Wasafi

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment