Recent Comments

NEWS:TUNE 88.5 CLOUDS FM,CHID BENZ ATAKUWEPO KWENYE XXL

Kuanzia saa 8 mchana tega sikio lako kwenye redio
station yako ya Clouds Fm,atakuwepo
Mwana Hip Hop Chid Benz toka Lafamilia akitambulisha
 ujio wake mpya na Ngoma yake
mpya....Unataka kujua kajipangaje jamaa huyu....?
Je ngoma yake itaenda kwa jina gani...?
kazungumzia nini umo ndani....? Basi tune in 88.5
Clouds Fm redio ya watu kujua kiundani
kwenye XXL,ukiwa na presenter wako nguli B12,Adam
Mchomvu & Dj Fetty wakisababisha......
Hii si ya kukosa....!!

Share on Google Plus

About Wasafi

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment