| with my Brother from another mother the only Legendary Dully sykes |
| BackStage Qboy Msafii & Dully |
| Sheeeeee sheeeeetaaa the don King Mswatiii |
| Wacha weeeh watu wakifurahia muziki mtamu na mzuri....!! |
| Kikosi cha Wasafiiii....! |
| WASAFIII.....!! |
| Kwenye show viuno mbele mbele....!! |
| Jeshi zima la wasafi stejini...taratibu tukilianzisha gurudumu kama kawaida yetu..!! |
| Mizuka sio kwangu tu hadi kwa Dj,Angalia sasa hapo akifanya yake bhana DJ Rommy Jones on the One & two hatari kabisa...!! |
| Kwa michezo ya kuringa ringa ndio wanadata.... |
| Twende sasa hapo....''Go Go Go kichwa Go kichwa'' Dancers wangu unipa mizuka sana stejini kuongeza unyama kabisa....!! |
| Hapo...ajajaja unaichukua chini hadi juu twende wote sasa...!! |
| Qboy Msafiii & DJ Rommy Jones on set akiharibiki kitu hapo....!! |
| Jumba ili la Biashara linavyoonekana kwa mwonekano wa Mbele hakika kwa ujumla inafurahisha kuona maendeleo yakifanyika nchini mwetu ni jambo la kheri na Busara..! |
| Eti nani amenuna......??? Nani jamani......? hahaha sio yeye jamani....!! |
| Na ubongo unapata mawazo...!! |
| Mizuka ikipanda utamanigi kushuka na kuanza kuimba nao pamoja..... akili uniruka kabisa kipindi hiki...!! |
| I CAN FEEL THE LOVE FROM THEM.... |
| Naona kama muda umeisha vile jamani au vp bhana....?? |
| Ajajajaja Prince Brothermen Dully akipagawisha stejini......kumbe muda upo bado basi sawa'' |
| Ukikata utamu....utamu..... utamu.....utamu hanhaiii....!! |
| Pisto yangu naikoki mama....unaanza kuishika shika....... alafu....?? Malizia mwenyewe...!! |
| Hapo sasa.....Utamu utamu ndo ngoma kwenye jukwaa sasa....!! |
| Baby DE'Anthon huh Handsome.....''UTAMU UTAMU'' Dully katika...katika....Dully katika....katika!! |
| Brother unaweza haya....?? hahahahaha......!! |
| DAMN........much love kwa watu wangu kwa hizi shangwee........hatari sana....!! |
| Choka mbaya sana hapa...,duh asikwambie mtu inahitaji mazoezi ya hali na mali kuona yale yaliyotokea jukwanii.....!! |
| Backstage picha na ya pamoja na watu wangu wa nguvu...!! |
| Rama Mpauka,Emma Platnum & Dummi Utamu...!! |
| Pale tulitakikana tuwape hizi bwana sema akijaharibika kitu tutawapa watu wa Moshi Jumamosi....'' Baada ya show dancers wangu wakioneshana mambo backstage |
| Usalama ulimarishwa kila kona kuakikisha mimi na crew yangu nzima tunatoka salama maeneo yale....!! |
Imetulia sana hii hope ilikuwa bonge moja la shoow Big up Brother Platnumz
ReplyDeleteIt was nice...Ila diamond me i like that part of nani amenunaaa...Kiruuuuuuu! Hahahahahahahahahaha
ReplyDeleteMimi nafurahi pale tuendeleeeeeeee ama tusiendeleeeeeee watu wote tuendeleeeeeeeeeee ama tusiendeleeeeeee wengine wanaanza kuishiwe nguvu .wewe mkali toa cd hata tatu zinazoonyesha show yako tu Diamond tutauza sana na itanunuliwa sana ya mlimani city tu alikuwa inagombaniwa .kwa sasa mavazi ya show zako zote ni mazuri na hayana mfano wa kulinganishwa popote pale.unavyovaaaa mimi ninapoingia kwenye show zako kitu cha kwanza huwa naangalia mavazi huwa yananivutia sana big up mwanangu endelea na Mwenyezi Mungu hatakuacha na baraka hiyoo ya mzazi tele .mavazi peke yake ni kuvutio kabla ya show ukiweka na show je mtafutano ukumbini.
ReplyDelete