Recent Comments

MUGABE ASHINDA TENA,KUIONGOZA ZIMBABWE KWA MHULA WA SABA

Uchaguzi wa Zimbabwe umekamilika. Rais Mugabe mwenye umri wa miaka 89
 ameendelea kuiongoza Zimbabwe baada ya ushindi wa zaidi ya 60%. Chama
 chake cha ZANU-PF kimepata viti zaidi ya 140 kati ya 210. Hii inaonesha kuwa
 ZANU-PF kitakua na
 two third majority bungeni.
Morgan Tsvangirai
 Ni ushindi mkubwa sana kwa Mugabe na ni anguko kuu kwa 
Mpinzani mkuu wa Bwana Mugabe, Morgan Tsvangirai, mwenye umri w
a miaka 61, amekataa
 matokeo na amesema atapeleka malalamiko mahakamani.
Viongozi wa mataifa ya magharibi yamesema yana wasi-wasi 
kama uchaguzi ulikuwa wa halali.
Share on Google Plus

About Wasafi

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment