Recent Comments

NEWS:FUSE ODG LIVE IN DAR....7TH SEPTEMBER....

Kama wewe ni mjanja na mpenda muziki wa aina mbalimbali

 basi ukitajiwa jina la Azonto lazima
uanze kuadisia hata uchwezaji wa nyimbo hiyo,
namzungumzia Fuse Odg toka Ghana sasa
anakuja kuwashika Ballerz wote na Divaz wote
wa jijini Dar ndani ya viwanja vya ustawi
kuanzia saa 2 usiku hadi kukuche.
Njoo ucheze Azonto hadi ubiduke na Antena
au sio,Hii si ya kukosa mtu wangu
wa kweli...Tarehe 7.9.2013 kwa kiingilio
cha Tsh 10,000/= ukinununa ticket kabla
na getini utauziwa kwa Tsh 15,000/=
keep that on your head

Share on Google Plus

About Wasafi

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment