Recent Comments

NEWS:JAY-Z NDANI YA FALME ZA KIARABU NOVEMBER 1.

Mwana Hip Hop tajriri duniani hapa
 namzungumzia Jay-Z baba wa mtoto Mmoja
tarehe 1 november anatazamiwa kuwepo kwenye
falme za kaiarabu kuporomosha show matata
kwenye umoja wa falme hizo ari maarufu kama
 Abu dhabi kwenye mashindano ya magari
ya Abu dhabi Grand Prix...

Jay-Z naona amefata nyayo za mkewe Beyonce
Knowles aliefanya show kwenye maonesho ya
mbio hizo za magari mnamo mwaka 2009 na
kuudhuriwa na watu wengi ikiwemi  mtoto wa
mfalme wa Saudia Arabia.....

Share on Google Plus

About Wasafi

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment