Recent Comments

NEWS:RAIS MSTAAFU WA MAREKANI BILL CLINTON AWASILI NCHINI TANZANIA

Habari zinazojili muda huu wa mchana ni Rais wa 42 wa Marekani
Bw.Bill Clinton yupo kwenye
ardhi ya Tanzania majira haya ya mchana.....


Ingawa habari kutoka serikalini bado awajaweka wazi kama
 amekuja kiziara au lah....
Ingawa kwa Mujibu wa Clouds Fm Rais huyo amewasili nchini
na mikakati muhimu na kutia sahii
mikataba kadhaa baina ya Tanzania na Marekani....
Kaa nasi hapa kwenye Blogsite yako tutazidi kukujuza zaidi
yanoyojiri ndani na nje ya nchi
kitaifa na kimataifa......
Mchana Mwema...

Share on Google Plus

About Wasafi

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment