Recent Comments

YALIYOJIRI BUNGEN LEO,JIJINI DODOMA....!!

Spika wa Bunge Anna Makinda Akitoa ufafanuzi hali iliyotokea Bungeni....!!
Waziri wa Maji,Prof.Jumanne Maghembe(kushoto) akiongea na John Mnyika
leo kwenye viwanja vya Bunge bahada ya bunge kuhairishwa!!
Waziri wa Nchi,Ofisi ya waziri Mkuu(TAMISEMI) Hawa Ghasia akimsikiliza Mhandisi
Stella Manyanya(VITI MAALUMU)Kuhusu yaliyojiri bungeni leo..!!
Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt.Abdalla KIgoda Akibadilishana
Mawazo na Naibu waziri wa Afya na Jamii Dkt Seif Rashid Kwenye
viwanja vya Bunge Leo...!!

Share on Google Plus

About Wasafi

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment