Picha ya Pamoja kikosi kizima cha Chelsea Fc kutoka Jiji la London wakisherekea ubingwa wa Europa League Usiku wa Jana Baada ya Kuilaza Benfica ya Ureno kwa Mabao 2 Kwa 1, Bao la Ushindi la chelsea liliwekwa kimiani na Mchezaji wa Chelsea Ivanovic Dakika za Lala salama....!! PONGEZI KWA CHELSEA KWA KUNYAKUA TAJI HILO...
0 comments:
Post a Comment