Recent Comments

SUMA LEE AMSHUKIA PRODUCER WA NGOMA YAKE MPYA ''WANASEMA''

Jana kupitia mtandao wa instagram, msanii Suma Lee 
ambae siku ya juma nne wiki iliyopita alitambulisha ngoma 
yake mpya "Wanasema" ilitengenewa na producer
 Lamar, alipost picha inayoonyesha mazungumzo yake 
na mtu mwingine {sifahamu ni nani} ambapo alikua 
akiambiwa na kutumiwa beat ya wimbo unaofanana
 na wimbo wake huo mpya.
nadhani baada ya kusikiliza beat hiyo ndipo alipoamua
 kuweka wazi mazungumzo hayo pamoja na kicha cha 
habari alichokiandika hivi 
"khaaaaa!!!!! hehehe.LAMAR nini hii!!!!! maana unamtia
 aibu SUMA LEE. Achekwe na ISMAIL MSWAHILI 
aaaaagh!!!! maza!! faza!!! 

Share on Google Plus

About Wasafi

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment