Recent Comments

TAREHE 25,MWACHE MTOTO ACHEZE KAMA DIAMOND,AIMBE KAMA DIAMOND NA AVAE KAMA DIAMOND

Finaly!!!!!!..........I hope We ushacheza na kuimba saaaaana na Diamond... sasa hii ni maalum kwa Mtoto wako, Mdogo, Ucle, Aunty yako inshort Family!...ni this wednesday 25/12/2013 Christmass🎄 katika kiwanja cha Leaders Club, itamwagwa Michezo yooooote ya watoto
ikiambatana na Burudani Kali toka @Wcb_wasafi ....ZINGATIA! Kuna kitu cha RedCarpert Maalum kabisa kwajili ya Watoto, hivyo hakikisha mwanao UnaMnyukisha vyakutosha!... Mvalishe kama Diamond, Aimbe kama Diamond, Acheze kama Diamond, Ikiwezekana hata nywele Kiduku cha njano kama Diamond.... Kwani nini si nini ama????? Sponsored by @Cocacolatz watoto Dressed by @babyishtz cC @iviewstudios
Share on Google Plus

About Wasafi

    Blogger Comment
    Facebook Comment

1 comments:

  1. Kila la kheri kwa siku hiyo 25 Desemba. Ningependa kumleta Mwanangu Mourinho hapo but yupo Moshi na bibi yake. Tunakuombe mafanikio na watoto wafurahi vizuri siku hiyo. Much Love Nasibu

    ReplyDelete