| Haya sasa ni mwendo wa nyoka nyoka tu....... wataelewa sasa hivi au wataelewa baadae...? |
| Rama Mpauka akimseti roboti wake |
| ikafika time ya the prezident kuingia........ |
| Nikistaajabishwa na shangwe na umati wa watu waliokuwa wamefurika uwanjani pale pale tu nilipotokea uwanjani |
| ....hapo sasa yanii....afe kipa afe beki lakini ushindi lazima.... |
| Kaskazini mwa uwanja wa ccm kirumba umati wa watu waliofurika wakishuhudia amsha amsha ya wasafi |
| nimpende nani sasaaa...........??? |
| Aya sasa....Nilikuwaga na nani zamani.....???? Alafu akafanyaje.....?? Leo nataka mtoto wa mwanza kunitibu maradhi nayougua |
| hakika nilikumbuka kigoma............ |
| siwasikii..etiii?? |
| haya twende sasa mashetani yashanianza............. |
| aaah..wosaaa aiiiii.....wosaaaaaa...ha ha ha ..vijana wangu wakinipandisha mizuka |
| Ndiyo kusema nani amenunaa??nani amenunaaa??siwasikii..nani...?? |
Badilisha site yako,unakosa watu hata comments,redirect watu waweze kucomments kupitia facebook
ReplyDeleteUnawapa taabu mashabiki wko kukufikia huku kijana kwa njia ya comments,ifanye iwe rahisi kutumia
ReplyDeleteU rock,justin bieber wa bongo......
ReplyDeletebig up wasafi classic
ReplyDeleteumetisha xaaaaaaaaaaaaaaaaana platnumzzzzzzzzzzzz
ReplyDeletesafi sanaaa tuwekee bac ile ya COMORO mbna hukuiweka?
ReplyDeletekama TH3 BEST ARTIST/SUPER*/MNYAMA/NA NINI NA NINI... shout out kwako even na yule shemeji yetu naniiiiiiii.....
ReplyDeletec mtoto wa mwanza.anaekupdezine u rocky like wasafi prezdar .lol
kwani nani kanuna...............?????????????
This comment has been removed by the author.
ReplyDeletegooooooood
ReplyDeleteMAMBO SAAFI KABISA MLIPENDEZA SANA KWA KWELI UKO MKALIIIII MAVAZI MNAYOVAA WASAFI NAMPA DIZAINA PONGEZI NA HONGERA MLIPENDEZA SANA MWANZA WATU WANAKUPENDA LAZIMA UWAPE SHOOOOO MBILI WAFARIJIKE.WASAFIIIIIIIII JUU JUU JUU ZAIDI.TUNASUBIRI ZA COMORO ON STEGE
ReplyDeleteas usual hard working pays..keep rocking em ma boy msafiiiii..........
ReplyDelete