Kila ninapowaza nikufanyie kitu gani naona
kama kidogo hakitoshi kwa jinsi shida,tabu ulizozipata
katika kunilea hadi leo kufikia hapa...ni Matatizo mengi sana, tena Saana hadi kila
niyakumbukapo najikuta ghafla machozi
yananitoka...tazama hata hapa najikuta nakosa
cha kukiandika maana kila niliandikalo naona kama bado halitoshi
kuelezea Hisia, Upendo, Thamani na Heshima yangu Kwako... Nakupenda
sana Mama yangu, Mwenyezi Mungu akuzidishie Maisha marefu
yenye Afya na furaha ili uzidi kuniongoza vyema Mwanao, Maana Bila wewe
Mbele kwangu ni kiza... Happy Birthday Mama Nasibu
DEKA NI WAKATI WAKO WA KUDEKA KWA MAMA YAKO USIPODEKA KWA MAMA UKADEKE WAPI.NAMI NAMTAKIA AFYA NJEMA NA MAISHA MAREFU.NAFURAHI SANA NINAPOONA MTOTO ANAMTAMBUA MAMA YAKE MZAZIWAKE ACHA MAMA NASSIBU ALE RAHA NIWAKATI WAKE WA KUTESA SAHAU SHIDA ZOTE ZA NYUMA.MSHUKURU MUNGU MWANAMKE MWENZANGU WATOTO WACHACHE SANA WANAOKUMBUKA WAZAZI LAKINI WEWE MWANAO ANAKUKUMBUKA ANAKUPENDA KURA RAHA MAMA MIEZI TISA MTOTO TUMBONI BADO KULEA SIO MCHEZO.DIAMOND NAMI NAKUOMBEA KHERI BARAKA NA MAFANIKIO MEMA KATIKA MAISHA YAKO YOTE NA MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU .MMETOKA VIZURI SANA MAMA NA MWANA MPAKA RAHA.
ReplyDelete