Kwa sasa ukizungumzia jina ili Hasheem Thabeet, kwenye ligi kuu ya
kikapu nchini Marekani basi autoacha
kusikia jina kila mmoja akimzungumzia....Mtanzania Pekee kwenye Ligi ya
kikapu maarufu na nguli ulimwenguni
ijulikanayo kama NBA....!!
Kwanini Hasheem......??
Basi kama ulikuwa hujui acha nkujuze mimi leo,Hasheem kwa sasa ndie
mchezaji mrefu kuliko wote
kwenye Ligi hiyo ya kikapu marekani iliyojawa na Mastaa nguli Duniani
kwenye timu tofauti tofauti....
Mtanzania huyo mwenye urefu wa Futi 7.3 ameweza kuweka Historia hiyo
baada ya aliekuwa anaongoza
kwa kipindi kirefu,mchezaji kikapu mwenzie Yao-Ming kusataafu
kucheza kikapu mwanzoni mwa mwaka huu...
Hasheem Thabeet anaechezea Timu ya Oklahoma City Thunder hadi sasa aijaonekana
mchezaji yoyote kumkaribia mchezaji huyo kwa karibu zaidi
ya Mchezaji Dwight Howard anaecheza ligii
hiyo....!!
Hasheem Thabeet aliezaliwa february 16 mwaka 1987 nchini Tanzania
na kukulia jijini Dar es salaam
kabla ya kwenda nchini marekani kimasomo mwaka 2006 na
hadi kufikia mwaka 2009 kupata
nafasi kucheza NBA...
Hasheem anaechezea Oklahoma City Thunder anapokea
kiasi cha dola za kimarekani
6.128 milioni kwa mwaka baada ya makato ya kodi nchini humo.....!!
Big Up kwa Hasheem Thabeet anavyozidi kuitangaza Bendera ya
Tanzania na East Africa nzima
kwenye Ligi hiyo Kubwa duniani... |
0 comments:
Post a Comment