Recent Comments

HASHEEM THABEET MCHEZAJI MREFU KULIKO WOTE KWENYE LIGII YA KIKAPU MAREKANI

Kwa sasa ukizungumzia jina ili Hasheem Thabeet, kwenye ligi kuu ya 
kikapu nchini Marekani basi autoacha 
kusikia jina kila mmoja akimzungumzia....Mtanzania Pekee kwenye Ligi ya
 kikapu maarufu na nguli ulimwenguni
ijulikanayo kama NBA....!!
Kwanini Hasheem......??
Basi kama ulikuwa hujui acha nkujuze mimi leo,Hasheem kwa sasa ndie
 mchezaji mrefu kuliko wote
kwenye Ligi hiyo ya kikapu marekani iliyojawa na Mastaa nguli Duniani 
kwenye timu tofauti tofauti....
Mtanzania huyo mwenye urefu wa Futi 7.3 ameweza kuweka Historia hiyo
 baada ya aliekuwa anaongoza
kwa kipindi kirefu,mchezaji kikapu mwenzie Yao-Ming kusataafu
 kucheza kikapu mwanzoni mwa mwaka huu...
Hasheem Thabeet anaechezea Timu ya Oklahoma City Thunder hadi sasa aijaonekana 
mchezaji yoyote kumkaribia mchezaji huyo kwa karibu zaidi 
ya Mchezaji Dwight Howard anaecheza ligii
hiyo....!!
Hasheem Thabeet aliezaliwa february 16 mwaka 1987 nchini Tanzania
 na kukulia jijini Dar es salaam 
kabla ya kwenda nchini marekani kimasomo mwaka 2006 na
 hadi kufikia mwaka 2009 kupata
nafasi kucheza NBA...
Hasheem anaechezea Oklahoma City Thunder anapokea 
kiasi cha dola za kimarekani
6.128 milioni kwa mwaka baada ya makato ya kodi nchini humo.....!!

Big Up kwa Hasheem Thabeet anavyozidi kuitangaza Bendera ya 
Tanzania na East Africa nzima
kwenye Ligi hiyo Kubwa duniani...




Share on Google Plus

About Wasafi

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment