Recent Comments

JIONI YA JANA NILIPOHUDHURIA MAADHIMISHO YA MIAKA MIWILI YA UCHUMI SUPER MARKET

Siku ya jana Uchumi super market walikuwa wanaadhimisha miaka 2 ya utoaji huduma chini Tanzania,hafla iliyofanyika katika hotel ya JB BELMONT maeneo ya posta,na mimi kama balozi wa kinywaji cha Coca cola nilialikwa kama mwakilishi wa kampuni ya Coca cola 
kuhusika vilivyo kwenye maadhimisho ya uhusiano wa UCHUMI supermarket na Coca-Cola

Zifuatazo ni Picha kwenye usiku huo...!!

Hapa nikiwasili Maeneo ya Posta Majira ya Jioni .....!!
Nilikutana na Kaka yangu Banana Zorro nae alialikwa
 kutumbuiza kwenye hafla hiyo fupi....


Nikiwa nimepokwelewa na Kiongozi wa Uchumi Supermarket ....

Kama Balozi wa Coca-Cola nikipokea maelekezo kutoka kwa kiongozi wa Uchumi super market...

Kama unavyojua ni mfungo wa ramadhani...Ulikuwa umewadia muda na Azana imeadhiniwa
so yakupasa kufungulia kwa kitu laini....

Kabla ya yote swala uhusika sana....
Nikiwa na mwakilishi kutoka coca cola

Muda wa Kupata Iftar baada ya saa 12 za fungo....


Aya sasa....Mahanjumati taratibu...
Lazima niwajuze watu wangu kupitia social Networks zangu wajue nini mtu wao wa kweli nafanya muda huu..
With My Special Assistance Qboy Msafii havin Iftar

Hahaha hatari sana baada ya kuwaambia nipo zanzibar napata Iftar wakifunguka watu wangu...
LOL nipo Bongoland sema mazingira tofauti na nyumbani kabisa...
Aliambdulilahi.....Mwenyezi Mungu kufanikisha Futari hii
Nikisaini Kitabu cha wageni cha Hotel Hii
Nikitetea na Mkurugenzi wa Coca-Cola kwanza Tz Bw.Nalaka Hettiarachchi mambo mawili matatu juu ya kazi 
na kiujumla...
BAADA YA KUFTURU NILIWEZA KUUNGANA NA WAGENI WAALIKWA KWENYE
DHIFA HII FUPI YA MIAKA MIWILI YA UCHUMI
B BAND(Banana zorro band wakitumbuza)



Utu uzima dawa....Banana akisema na wageni waalikwa
Meneja Muandamizi wa Uchumi Supermarket akitusalimu baada ya kuwasili

Muda umekaribia kuisha Naseeb tukaswali Taraweei...
Nikichonga jambo na Assistance wangu
Gellly hando alikuwa ndio msema chochote(MC)
Producer Mike Mbezi 

WAFANYAKAZI WA UCHUMI
Wageni waalikwa na wadau wa Uchumi super market 

Mc akimkaribisha mkurugenzi wa Uchumi

Banana Zorro akisikiliza kwa makini 


Msemaji wa Uchumi Supermarket akinikaribisha kama Balozi wa Coca-Cola kusema jambo na wageni waalikwa



My time is over muda wa swala umewadia Loading 99.9% to Masjid Maaqbur

Share on Google Plus

About Wasafi

    Blogger Comment
    Facebook Comment

1 comments:

  1. Safi saaaaana Diamond umeenda kuwakilisha kama balozi wa coca tu hapa naona wamejua mwenzi huu uko makini sana ndiyo maana wakakuandalia futali na ukafuturu haukuvunja taratibu kabisa na bado ukawakalisha kama cacocola balozi wao,na ukawahi msikitini nimefurahia maana watu wanavyojua kuchonga wangesema siku hiyo alifungulia lakini umeonyesha msimamo kuwa mwezi mtukufu ni mwezi mtukufu hautaki mchezo .nikutakie kazi njema nimeona tangazo kuwa mnazindua Mziki gani inakuwaje na ni mwezi mtukufu?

    ReplyDelete