Recent Comments

NEWS:NBA STAR STEVE CURRY KUENDESHA SEMINA YA VIJANA JIJINI DAR

Makamu wa Rais wa Mpira wa kikapu Tanzania (TBF)  Phares Magesa

leo asubuhi akiongea na wapenzi wa michezo kupitia Redio kuhusu
maendeleo ya mchezo huo nchini ikiwemo ziara ya mchezaji nyota wa NBA
Stevve Curry ambae ataendesha semina na clinic ya vijana wadogo
 100 tarehe 1 august mwaka huu,
ndani ya viwanja vya Don Bosco Osterbay,wote mnakaribishwa..!!

Share on Google Plus

About Wasafi

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment