Recent Comments

MPIGIE KURA FEZA KESSY KUMUOKOA KWENYE NOMINATION NDANI YA BBA THE CHASE

Mpigie kura Mshiriki pekee aliebakia kwenye mashindano ya Big Brother The Chase 2013
yanayoendelea Nchini South Africa......Yupo kwenye Nomination
waeza Mpigia kura kupitia ujumbe wa maneno unaandika
VOTE FEZA kwenda namba 15456......Fanya hivyo sasa kuweza kumuwezesha
Fedha Kessi kubakia ndani ya jumba ilo kuzidi kuipeperusha
Bendera ya Taifa la Tanzania ndani ya BBA The chase 2013....

Share on Google Plus

About Wasafi

    Blogger Comment
    Facebook Comment

1 comments: