Leo mtu wangu wa kweli nimekuandalia kitu kimoja tofauti kabisa mpitiaji wa Blogsite hii, Vile vile hii ni muhimu sana kwa wale ambao wapo kwenye maandalizi ya Harusi au hata wale watakaoingia kwenye ndoa karibuni....Basi hii inakufaha zaidi katika pita pita zangu niliweza kukutana na picha hizi za keki zilizotengenezwa juu ya ufanisi mzuri na watengenezaji waliobobea kwenye kazi hii barani ulaya,nikaona nisipendezeshe machopekee yangu basi waacha nikuweke hapa uweze kujionea mwenyewe keki zinazotumika kwenye masherehe au Harusi kiujumla....Natumahi picha hizi kumi unaweza kujionea mwenyewe keki hizi zinavyovutia mtu wangu wa kweli.....
0 comments:
Post a Comment