Recent Comments

THIS IS DIAMOND INATOA POLE KWA MSANII SHAA KUFIWA NA MAMA YAKE MZAZI.

Tunapenda kuwajuza mashabiki wote wa Shaa Tanzania nzima  na wanaopitia Mtandao
 huu wa Thisisdiamond
kuwa Msanii wa Bongo Flava Shaa amefiwa na Mama
 yake mzazi siku ya jana.....
Kama Blogsite hii binafsi tunatoa Pole kwa Shaa na Familia
nzima kwa kipindi hiki kigumu,
mwenyezi Mungu awaongoze kwenye Kila jambo na awatie nguvu....!!

Mungu Aipumzishe Roho ya Mama yake na Shaa
Mahala Pema Peponi....
Mbele yake nyuma yetu...!!
Kwa habari zaidi tutazidi kuwajuza kiundani..!

Share on Google Plus

About Wasafi

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment