Recent Comments

NEWS:CRISTIANO RONALDO,MCHEZAJI ANAELIPWA ZAIDI HISPANIA.

Baada ya kusaini mkataba na timu yake ya sasa Real
 Madrid,Cristiano Ronaldo kutokana na mkataba huo
unamfanya kuwa mchezaji ghali zaidi ndani ya ligii
kuu ya uhispania na kuwa mchezaji anaeingiza
mkwanja mrefu zaidi nchini umo...

Ronaldo amesaini mkataba utakaomuweka ndani ya timu
 hiyo hadi mwaka 2018 wenye thamani
ya Euro Milioni 17 kwa mwaka huku akipewa haki miliki
 ya asilimia 60% ya matangazo yote
na asilimia 40% kwenda Real Madrid....

Rais wa timu hiyo ameonshwa kufurahishwa na
 jambo la Ronaldo kubakia kilabuni hapo
alisema haya ''Nimekuwa na Maongezi nae kwa kipindi
\kirefu,nafurahi kuona yupo nasi hapa kwa
miaka mingine mitano zaidi,nachotamani ni kuona
anamalizia soka lake akiwa nasi hapa ni jambo
ambalo kila mpenzi wa timu hii ata yeye pia nazani ndilo
jambo lipo moyoni mwake''Alisema Rais wa
Real Madrid,Florentino Perez.

Hili ni shavu kubwa sana sasa Ronaldo ndio mchezaji
anaepokea mshiko mredu zaidi nchini
spain....

Share on Google Plus

About Wasafi

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment