Recent Comments

NEWS:CHRIS BROWN APANDISHWA MAHAKAMANI

Mwanamuziki Chris Brown amepandishwa kizimbani kwa saa kisha
kuachiwa kwa dhamana kutokana na 
msala wa kugonga na kukimbia unaomkabili alioupata miezi kadhaa iliyopita...
Katikati ya wikii hii,jamaa alijisalimisha mwenyewe katika kituo cha polisi
Van Nuys kabla ya kupandishwa mahakamani kujibu mashitaka yanayomkabili
alikana.
''Haikuwa kugonga na kukimbia kama nilivyoshitakiwa,hakuna mtu wala gari
lililoumia siku ya tukio,''Alikanusha  Chris
Mwanamuziki huyo aliachiwa kwa dhamana hadi kesi hiyo itakapotajwa
tena ambapo amewaomba mashabiki zake wasiwe na wasiwasi
na wajiandae kupokea album yake mpya ya X august 20 mwaka huu...

Share on Google Plus

About Wasafi

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment