![]() |
| Emma Platnum kama Supervisor Captain On Board tukiwa tumewasili Mpanda. |
![]() |
| Hawa ndio baadhi ya watu walioanza kusogea taratibu baada ya ndege kuwasili.. |
![]() |
| Ebhana nachokiona mbele hapa ni Nyomi ya watu doooh......Mpanda people are my Royal FANS |
![]() |
| Ni vurugu patashika...... |
![]() |
| Ebhana siezi kuondoka bila kusalimiana nao,hapaa ndipo nilitokeza kuzungumza nao machache mahana hali ya usalama pale uwanjani aikua shwari tena. |
![]() |
| I can feel the love,truly this people are making me alive. |
![]() |
![]() |








tisha sana mzeyiaaaaaaaaaaaaa
ReplyDeletei say guys u rocked thm all maan big up
ReplyDeleteww noma mtu wangu unakubalika tu tz nzima fanya utie maguu ZANZIBAR wangu mbona uji
ReplyDeletekwanza kabisa hukunyonga tai, t-shirt na jinsi ukatup kidogo...................
ReplyDeletechezea diamond wewe
Nilitaka kukuuliza mbona hajatujuza habari za Mpanda mimi nilijua uko Tabora harafu Dar kumbe ulikuwa na safari ndefu sana.Watu wanakupenda hata watu wachonge watanyamaza wenyewe una watu wanavyokukumbilia kukuona tu,Mshukuru sana Mwenyezi Mungu kwani yeye ndiye muweza wa yote,kazi njema
ReplyDelete